Kenyan music lyrics

  • fnt+
  • fnt=
  • fnt-

Mona Lisa

Mona Lisa

(0 votes, average 0 out of 5)

LISTEN TO 'MONALISA'

Artist: Deux Vultures
Song: Monalisa 

Verse 1

Uhaah!
Naamka kume kucha napita mamangina nasikia "nipe shilingi"
Chukua baada ya muda naona dem wa kishua
Expensive kinda looking utadhani ametuwa
Ah wacha nikwambie "sema"
Dem alikuwa amevaa a black sketcher
An africa queen a rare kind of species none of you has ever seen
Ako masava va!
Jina ni mustafa no need for you to worry we can keep it undercover
For real never mind about your current lover
[karibu upite ndani halafu uta discover] x2

chorus
cheki monalisa anavyotingisha (tingisha)
mimi nimebaki nimejazika (jazika!)
wawazee kila siku wanauliza (uliza!)
Jambo gani nilifanya mpaka akajipa

cheki monalisa anavyotingisha (tingisha)
mimi nimebaki nimejazika (jazika!)
wawazee kila siku wanauliza (uliza!)
Jambo gani nilifanya mpaka akajipa

Verse 2
s’avez vous parlez francais
mikasa sukasa mbona unakaza
mara ya kwanza nikupeleke casablanca mombasa
roasters sasa come to makasa sasa ni ma vultures
ngoja ukiwa utasuffer siwezi kukuchapa
na tena nimeapa ni wewe ndio nataka
wengine mi sitaki kwani mangojwa ni mengi
so wacha nikupe raha mtoto wa kikenya mi nisha sema nishasema

chorus
cheki monalisa anavyotingisha (tingisha)
mimi nimebaki nimejazika (jazika!)
wawazee kila siku wanauliza (uliza!)
Jambo gani nilifanya mpaka akajipa

cheki monalisa anavyotingisha (tingisha)
mimi nimebaki nimejazika (jazika!)
wawazee kila siku wanauliza (uliza!)
Jambo gani nilifanya mpaka akajipa

Verse 3
yo baby boo be sure kila kitu nita do
na kama una penda nasi basi sema uh
yo baby boo be sure kila kitu nita do
na kama unapenda nasi sema uh!
yo baby boo be sure kila kitu nita do
na kama una penda nasi basi sema uh
boo be sure kila kitu nita do
na kama unapenda nasi sema uh!

S’ave vous parles francais mikasa sukasa
Mbina unakaza mara ya kwanza nikupeleke casablanca mombasa
Roasters sasa come to makasa
Ako masava 
jina ni mustafa
No need for you to worry we can keep it undercover
For real never mind about your current lover
(karibu pita ndani alafu njoo utadiscover)x2

chorus
cheki monalisa anavyotingisha (tingisha)
mimi nimebaki nimejazika (jazika!)
wawazee kila siku wanauliza (uliza!)
Jambo gani nilifanya mpaka akajipa

cheki monalisa anavyotingisha (tingisha)
mimi nimebaki nimejazika (jazika!)
wawazee kila siku wanauliza (uliza!)
Jambo gani nilifanya mpaka akajipa



Add this page to your favorite Social Bookmarking websites
Digg! Reddit! Del.icio.us! Google! Live! Facebook! StumbleUpon! MySpace! Twitter!

Related Items:
Newer Items:
Older Items:

Comments
Add New
+/-
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.
 
KenyanLyrics.com


Follow KenyanLyrics on Twitter